Nenda kwa yaliyomo

Eneo bunge la Kitui Mashariki

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Jamhuri ya Kenya

Makala hii imepangwa kwa mfululizo:
Siasa na serikali ya
Kenya



Nchi zingine · Atlasi

Eneo bunge la Kitui Mashariki (awali: Jimbo la Uchaguzi la Mutito) ni mojawapo ya Majimbo 290 ya Uchaguzi nchini Kenya. Jimbo hili ambalo ni miongoni mwa majimbo manne katika Wilaya ya Kitui, lina wodi saba, zote zikiwachagua madiwani kwa baraza la Kitui County.

Historia

[hariri | hariri chanzo]

Jimbo la Mutito lilianzishwa wakati wa uchaguzi Mkuu wa 1988, huku mbunge wake wa kwanza akiwa Ezekiel Mwikya Mweu.

Uchaguzi Mbunge [1] Chama Vidokezo
1988Ezekiel Mwikya MweuKANUMfumo wa Chama Kimoja
1992Ndambuki M. MutindaKANU
1997Jimmy Muthusi KitongaSDP
2002Kiema KilonzoFord-People
2007Kiema KilonzoODM-Kenya
Wodi
Wodi Wapiga Kura Waliojisajili
Kyanika / Maluma6,521
Malalani / Endau4,509
Mutitu / Kaliku6,813
Mwitika / Kyamatu5,839
Sombe3,789
Thua / Nzangathi / Ithumula6,602
Voo3,721
Jumla37,794
*Septemba 2005 [2].

Tazama Pia

[hariri | hariri chanzo]