Nenda kwa yaliyomo

Eneo bunge la Laisamis

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Jamhuri ya Kenya

Makala hii imepangwa kwa mfululizo:
Siasa na serikali ya
Kenya



Nchi zingine · Atlasi

Eneo bunge Laisamis ni mojawapo ya Majimbo 290 ya Kenya. Jjmbo hili linapatikana katika Kaunti ya Marsabit, mashariki mwa nchi. Eneo lote la jimbo hilo limo katika baraza la Marsabit County.

Historia

[hariri | hariri chanzo]

Jimbo hili lilianzishwa wakati wa Uchaguzi Mkuu wa 1988.

Uchaguzi Mbunge [1] Chama Vidokezo
1988Samuel Ntontoi BulyaarKANUMfumo wa Chama Kimoja
1992Robert Iltaramatwa KochalleKANU
1997Robert Iltaramatwa KochalleKANU
2002Titus NgoyoniKANUNgoyoni aliaga katika ajali ya ndege mnamo 2006 [2].
2006Joseph LekutonKANUUchaguzi Mdogo
2007Joseph LekutonKANU

Kata na Wodi

[hariri | hariri chanzo]
Kata
Kata Idadi ya Watu*
Illaut/Ngurunit5,038
Kargi5,609
Korr8,018
Laisamis9,066
Logologo4,057
Loiyangalani8,049
Merille3,032
Mount Kulal3,910
South Horr3,071
Jumla49,850
*Hesabu ya 1999.
Wodi
Wodi Wapiga Kura waliojiandikisha
Korr4,494
Laisamis3,429
Logologo1,763
Loiyangalani2,077
Mount Kulal1,077
South Horr2,755
Jumla15,595
*Septemba 2005 [3].

Tazama Pia

[hariri | hariri chanzo]