Eneo bunge la Kacheliba

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Eneo la bunge la Kacheliba ni moja ya majimbo ya Uchaguzi nchini Kenya. Ni moja kati ya majimbo manne ya Kaunti ya Pokot Magharibi. Jimbo hili lina wodi 11, zote zikiwachagua madiwani kwa baraza la kaunti.

Jamhuri ya Kenya

Makala hii imepangwa kwa mfululizo:
Siasa na serikali ya
Kenya



Nchi zingine · Atlasi


Historia[hariri | hariri chanzo]

Jimbo hili lilianzishwa wakati wa uchaguzi Mkuu wa 1988.

Wabunge[hariri | hariri chanzo]

Uchaguzi Mbunge [1] Chama Vidokezo
1988 Samuel Poghisio KANU Mfumo wa Chama Kimoja
1990 Peter L. Nang’ole KANU Uchaguzi Mdogo, Mfumo wa Chama Kimoja.
1992 Peter L. Nang’ole KANU
1997 Samuel Poghisio KANU
2002 Samuel Poghisio KANU
2007 Samuel Poghisio ODM

Kata na Wodi[hariri | hariri chanzo]

Kata
Kata Idadi ya Watu*
Akoret 2,329
Alale 7,987
Chemorongii 1,824
Kalapata 3,045
Kapchok 5,150
Kaptolomwo 2,842
Kasei 4,503
Kases 4,818
Kiwawa 7,129
Kodich 5,946
Kopulio 1,841
Korpu 2,927
Lokichar 5,063
Lokitanya 9,740
Lopet 2,000
Suam 7,035
Jumla x
*Hesabu ya 1999.
Wodi
Wodi Wapiga Kura Waliojisajili
Akoret 545
Chemorongit 366
Kalapata 1,990
Kapchok 1,975
Kasei 1,795
Kases 864
Kiwawa 1,879
Kodich 3,130
Lokitanyala 1,689
Lopet 1,274
Suam 3,155
Total 18,662
*Septemba 2005 [2].

Tazama Pia[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]