Eneo bunge la Mbeere Kusini

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Jamhuri ya Kenya

Makala hii imepangwa kwa mfululizo:
Siasa na serikali ya
Kenya



Nchi zingine · Atlasi


Eneo bunge la Mbeere Kusini (awali: Gachoka) ni jimbo la uchaguzi nchini Kenya, moja kati ya majimbo mane ya Kaunti ya Embu. Ina Wodi saba, zote zikiwachagua madiwani kwa Baraza la Mbeere County.

Historia[hariri | hariri chanzo]

Jimbo hili lilianzishwa wakati wa uchaguzi mkuu wa Kenya wa 1988.

Wabunge[hariri | hariri chanzo]

Uchaguzi Mbunge [1] Chama Vidokezo
1988 Jeremiah Nyagah KANU Mfumo wa Chama Kimoja
1992 Norman Nyagah DP
1997 Jeremiah Nyagah KANU
2002 Jeremiah Nyagah NARC
2007 Mutava Musyimi PNU

Katana Wodi[hariri | hariri chanzo]

Kata
Kata Idadi ya Watu*
Karaba 18,544
Kiambere 12,698
Kianjiru 20,506
Makima 15,062
Mavuria 20,134
Mbeti South 16,087
Riakanau 14,181
Jumla x
Hesabu ya 1999.
Wodi
Wodi Wapiga Kura
Waliojisajili
Karaba 7,779
Kiambere 4,356
Kianjiru 6,790
Makima 5,643
Mavuria 7,828
Mbeti South 7,302
Riakanau 5,468
Jumla 45,166
*Septemba 2005 [2].

Tazama Pia[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]