Jermano wa Capua

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mt. Jermano akikutana na shemasi Paskasi ahera (juu kushoto), katika De balneis Puteolanis, kazi ya Petro wa Eboli (karne ya 12).

Jermano wa Capua (alifariki Capua, Campania, Italia, 540 hivi) alikuwa askofu wa mji huo kuanzia mwaka 516[1].

Kabla ya hapo alikuwa ameuza mali aliyorithi kwa familia yake tajiri ili kusaidia maskini akaishi kitawa.

Rafiki wa Benedikto wa Nursia, tangu kale anaheshimiwa na Kanisa Katoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 30 Oktoba[2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Marejeo mengine[hariri | hariri chanzo]

  • Carcione, F., ed. (1999). Germano di Capua (m. 541 ca): ambasciatore ecumenico a Costantinopoli e modello di santità per il Cassinate: ricerche storiche sul personaggio, sulla fortuna del suo culto e su aspetti particolari del Medioevo locale. Venafro. 
  • Lentini, A. (1938). "Due legati papali a Costantinopoli nel secolo VI: Germano di Capua e Sabino di Canosa". In C. Galassi Paluzzi. Atti del IV Congresso nazionale di studi romani I. Rome. pp. 384–391. 
  • Lentini, A. (1963). San Germano, vescovo di Capua. Montecassino. 
  • Lentini, A. (1966). "Il libellus portato a Bisanzio da Germano di Capua". Atti del Convegno nazionale di studi storici promosso dalla Società di storia patria della Terra di Lavoro. Rome. pp. 343–349. 
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.