Isidori mkulima
Mandhari
(Elekezwa kutoka Isidoro Mkulima)


Isidori mkulima (kwa Kihispania Isidro Labrador, Madrid, Castilia, 1070 hivi – Madrid, 15 Mei 1130[1]) alikuwa mkulima wa Hispania maarufu kwa upendo wake kwa maskini na wanyama.
Pamoja na mke wake, mwenye heri Maria wa Cabeza, aliwajibika katika kazi ngumu za shambani, akivuna kwa uvumilivu wake tuzo ya mbinguni kuliko mazao ya ardhi akawa kielelezo cha mkulima Mkristo [2].
Papa Paulo V alimtangaza mwenye heri tarehe 2 Mei 1619, halafu Papa Gregori XV alimtangaza mtakatifu tarehe 12 Machi 1622.
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]- ↑ ABC. "Las idas y venidas del cuerpo incorrupto de San Isidro Labrador". Iliwekwa mnamo 21 Novemba 2016.
{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link) - ↑ https://www.santiebeati.it/dettaglio/53300
- ↑ Roman Martyrology 2001 for 21st-century date; Catholic Encyclopedia (1910) for (same) early 20th-century date
Marejeo ya Kiswahili
[hariri | hariri chanzo]- John Kabeya na wengine - Maisha ya Watakatifu – ed. T.M.P. Book Department – Tabora 1965, 1989, uk. 167
- Pd. Leandry Kimario, O.F.M.Cap. - Mfahamu Mtakatifu Somo Wako - Maisha ya Watakatifu wa Kila Siku pamoja na Watakatifu Wafransisko - Toleo la pili - Dar es Salaam 2021, uk. 140
Viungo vya nje
[hariri | hariri chanzo]- St Isidore the Farmer Ilihifadhiwa 13 Septemba 2006 kwenye Wayback Machine.
- Visitors guide to the Fiestas San Isidro in Madrid Ilihifadhiwa 2 Februari 2024 kwenye Wayback Machine.
- Yucatan, Mexico celebrates San Isidro Labrador in multiple town fiestas Ilihifadhiwa 26 Mei 2010 kwenye Wayback Machine.
- Lucban San Isidro Pahiyas Festival website Ilihifadhiwa 18 Machi 2009 kwenye Wayback Machine.
- The Life of San Isidro, Labrador
- Saint Isidore the Laborer at the Christian Iconography web site
| Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
