Ignas wa Laconi
(Elekezwa kutoka Ignasi wa Laconi)
Jump to navigation
Jump to search
Ignas wa Laconi, O.F.M. Cap. ni jina la kitawa la Vincenzo Peis (1701 - 11 Mei 1781) alikuwa bruda ombaomba wa shirika la Ndugu Wadogo Wakapuchini kutoka kijiji cha Laconi, mkoani Sardinia, (leo nchini Italia).
Alitangazwa na Papa Pius XII kuwa mwenye heri mwaka 1940, halafu mtakatifu mwaka 1951.
Sikukuu yake huadhimishwa tarehe ya kifo chake[1].
Tazama pia[hariri | hariri chanzo]
- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
Tanbihi[hariri | hariri chanzo]
![]() |
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |