Gilda

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Sanamu yake.

Gilda (kwa Kibretoni: Gweltaz; Britania Kusini, karne ya 5 - Houat, Bretagne, leo nchini Ufaransa, 570 hivi) alikuwa mmonaki nchini kwake, halafu padri mmisionari katika sehemu mbalimbali za visiwa vya Britania na huko Bretagne alipoanzisha monasteri [1].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki, Waorthodoksi na Waanglikana kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 29 Januari[2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

      .
     . http://www.oxforddnb.com/view/article/10718?docPos=1. Retrieved 14 March 2015.
      .

Marejeo mengine[hariri | hariri chanzo]

  • Luca Larpi, Prolegomena to a New Edition of Gildas Sapiens «De Excidio Britanniae», Firenze, Sismel – Edizioni del Galluzzo, 2012 (it:Società internazionale per lo studio del Medioevo latino)
  • Winterbottom, Michael ed. and trans., (1978) Gildas: The Ruin of Britain and Other Works, Phillimore, Chichester

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Wikiquote ina mkusanyiko wa dondoo kuhusu:
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.