Gaetano Catanoso

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Picha yake halisi.

Gaetano Catanoso (Chorio di San Lorenzo, Reggio Calabria, Italia, 14 Februari 1879 – Reggio Calabria, 4 Aprili 1963) alikuwa padri wa Kanisa Katoliki aliyeanzisha shirika la Masista Maveronika wa Uso Mtakatifu kwa ajili ya kuhudumia fukara na waliotengwa na jamii [1].

Papa Yohane Paulo II alimtangaza mwenye heri tarehe 4 Mei 1997 halafu Papa Benedikto XVI alimtangazamtakatifu tarehe 23 Oktoba 2005.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe ya kifo chake[2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. "Saint Gaetano Catanoso". Saints SQPN. 13 November 2016. Iliwekwa mnamo 24 March 2017.  Check date values in: |date=, |accessdate= (help)
  2. Martyrologium Romanum

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.