Fridesvida

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mt. Frithuswith katika dirisha la kioo cha rangi, kanisa kuu la Gloucester.

Fridesvida (jina asili: Frithuswith, pia: Frevisse, Fris, n.k.; 650 hivi - Binsey, 727) alikuwa binti wa mfalme mdogo nchini Uingereza[1]. Alianzisha monasteri dabo huko Oxford[2] akaiongoza kama abesi[3].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki, Waorthodoksi na Waanglikana kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 19 Oktoba[4].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. Bentley, James (1993). A calendar of saints : the lives of the principal saints of the Christian Year. London: Little, Brown. ISBN 9780316908139. 
  2. Farmer, David Hugh (1997). The Oxford dictionary of saints (toleo la 4th). Oxford [u.a.]: Oxford Univ. Press. ISBN 9780192800589. 
  3. http://www.santiebeati.it/dettaglio/74430
  4. Martyrologium Romanum

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.