Eutropi wa Orange
Mandhari
Eutropi wa Orange (alifariki Orange, Provence, leo nchini Ufaransa, 475 hivi) alikuwa kabaila wa Marseille, huko Ufaransa.
Baada ya kufiwa mke wake, aliyekuwa amemvuta katika Ukristo kutoka maisha ya anasa, akawa shemasi[1] na hatimaye askofu wa Orange tangu mwaka 463 hadi kifo chake[2][3].
Mwandamizi wake, Vero wa Orange, aliandika habari za maisha yake[4].
Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu.
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Mabradha wa Shule za Kikristo
- Orodha ya Watakatifu Waaugustino
- Orodha ya Watakatifu Wabazili
- Orodha ya Watakatifu Wabenedikto
- Orodha ya Watakatifu Wadominiko
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
- Orodha ya Watakatifu Wajesuiti
- Orodha ya Watakatifu Wakarmeli
- Orodha ya Watakatifu Wakolumbani
- Orodha ya Watakatifu Wamersedari
- Orodha ya Watakatifu Waoratori
- Orodha ya Watakatifu Wapasionisti
- Orodha ya Watakatifu Wapremontree
- Orodha ya Watakatifu Waredentori
- Orodha ya Watakatifu Wasalesiani
- Orodha ya Watakatifu Waskolopi
- Orodha ya Watakatifu Wateatini
- Orodha ya Watakatifu Watrinitari
- Orodha ya Watakatifu Watumishi wa Maria
- Orodha ya Watakatifu Wavinsenti
Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]- ↑ Butler, Alban. Lives of the Saints, 1830
- ↑ Monks of Ramsgate. “Eutropius”. Book of Saints, 1921. CatholicSaints.Info. 27 January 2013
- ↑ http://www.santiebeati.it/dettaglio/54865
- ↑ Texte latin édité par Ph. Varin, dans Bulletin du Comité Historique des monuments écrits de l'histoire de France. Histoire-Sciences-Lettres, tome I. Paris, 1849, p. 53-64.
- ↑ Martyrologium Romanum: ex Decreto Sacrosancti oecumenici Concilii Vaticani II instauratum auctoritate Ioannis Pauli P.P. II promulgatum, Romae 2001, ISBN 8820972107
| Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |