Eutropi wa Orange

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Picha takatifu ya Mt. Eutropi katika kanisa kuu la Orange.

Eutropi wa Orange (alifariki Orange, Provence, leo nchini Ufaransa, 475 hivi) alikuwa kabaila wa Marseille, huko Ufaransa.

Baada ya kufiwa mke wake, aliyekuwa amemvuta katika Ukristo kutoka maisha ya anasa, akawa shemasi[1] na hatimaye askofu wa Orange tangu mwaka 463 hadi kifo chake[2][3].

Mwandamizi wake, Vero wa Orange, aliandika habari za maisha yake[4].

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu.

Sikukuu yake ni 27 Mei[5].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. Butler, Alban. Lives of the Saints, 1830
  2. Monks of Ramsgate. “Eutropius”. Book of Saints, 1921. CatholicSaints.Info. 27 January 2013
  3. http://www.santiebeati.it/dettaglio/54865
  4. Texte latin édité par Ph. Varin, dans Bulletin du Comité Historique des monuments écrits de l'histoire de France. Histoire-Sciences-Lettres, tome I. Paris, 1849, p. 53-64.
  5. Martyrologium Romanum: ex Decreto Sacrosancti oecumenici Concilii Vaticani II instauratum auctoritate Ioannis Pauli P.P. II promulgatum, Romae 2001, ISBN 8820972107
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.