Marseille
Jump to navigation
Jump to search
Jiji la Marseille | |
Mahali pa mji wa Marseille katika Ufaransa | |
Majiranukta: 43°17′47″N 5°22′12″E / 43.29639°N 5.37°E | |
Nchi | Ufaransa |
---|---|
Mkoa | Provence-Alpes-Côte d'Azur |
Wilaya | Bouches-du-Rhône |
Idadi ya wakazi | |
- | 855,393 |
Tovuti: www.marseille.fr |
Marseille ndiyo mji mkuu wa mkoa wa Provence-Alpes-Côte d'Azur, kusini mwa Ufaransa.
Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2013, mji una wakazi wapatao milioni 1.7 wanaoishi katika mji huu.
Mji uko mita 0-640 juu ya usawa wa bahari.
Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]
- Tovuti rasmi (Kifaransa)
- Official tourism website
- Photographs of Marseille Archived Julai 26, 2007 at the Wayback Machine.
- Interactive virtual tour
- Metro public transport Archived Aprili 4, 2008 at the Wayback Machine.
- AncientWorlds.net Massilia
- Aerial Map of Marseille[dead link] (Kifaransa)
- Extensive Creative Commons phototeque of Marseille and its environs Archived Februari 10, 2009 at the Wayback Machine.
![]() |
Makala hii kuhusu maeneo ya Ufaransa bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Marseille kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |