Enriko wa Osso
Mandhari


Enriko wa Osso Enriko wa Osso (jina kamili kwa Kikatalunya: Enric d'Ossó i Cervelló; Vinebre, Tarragona, Hispania, 16 Oktoba 1840 – Gilet, Valencia, Hispania, 27 Januari 1896) alikuwa padri wa Kanisa Katoliki.
Pamoja na kuwa paroko, na kuwajibika hasa katika katekesi, alianzisha jumuia Kikosi cha Mt. Teresa wa Yesu kwa ajili ya malezi ya wasichana. Alipoondolewa, alikwenda kuishi kwa Ndugu Wadogo [1][2][3].
Alitangazwa na Papa Yohane Paulo II kuwa mwenye heri tarehe 14 Oktoba 1979 na mtakatifu tarehe 16 Juni 1993.
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Mabradha wa Shule za Kikristo
- Orodha ya Watakatifu Waaugustino
- Orodha ya Watakatifu Wabazili
- Orodha ya Watakatifu Wabenedikto
- Orodha ya Watakatifu Wadominiko
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
- Orodha ya Watakatifu Wajesuiti
- Orodha ya Watakatifu Wakarmeli
- Orodha ya Watakatifu Wakolumbani
- Orodha ya Watakatifu Wamersedari
- Orodha ya Watakatifu Waoratori
- Orodha ya Watakatifu Wapasionisti
- Orodha ya Watakatifu Wapremontree
- Orodha ya Watakatifu Waredentori
- Orodha ya Watakatifu Wasalesiani
- Orodha ya Watakatifu Waskolopi
- Orodha ya Watakatifu Wateatini
- Orodha ya Watakatifu Watrinitari
- Orodha ya Watakatifu Watumishi wa Maria
- Orodha ya Watakatifu Wavinsenti
Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]- ↑ Butler's Lives of the Saints Volume I, edited by Alban Butler and Paul Burns, pgs 201 and 202
- ↑ Saint Enric de Osso y Cervello. Saints SQPN (21 March 2016). Retrieved on 28 September 2016.
- ↑ https://www.santiebeati.it/dettaglio/38175
- ↑ Martyrologium Romanum
Viungo vya nje
[hariri | hariri chanzo]| Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |