Engelbert wa Cologne

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Sanamu yenye masalia ya Mt. Engelbert.

Engelbert wa Cologne (pia: Engelbert II of Berg; Schloss Burg, 1185/1186Gevelsberg, karibu na Schwelm, 7 Novemba 1225) alikuwa askofu mkuu wa Cologne, Ujerumani, ambaye alijihusisha sana na mambo ya siasa akiwa pia mtawala wa sehemu ya nchi.

Kisha kutetea haki kwa nguvu zote, hatimaye aliuawa na ndugu yake wa ukoo[1].

Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa Katoliki kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe ya kifodini chake[2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Altenberger Blätter : Beiträge aus der Vergangenheit und Gegenwart Altenbergs (Odenthal-Altenberg: Katholische Pfarrgemeinde St. Mariä Himmelfahrt; Aktionskreis Altenberg e.V.) (30). OCLC 85642998
      . 
      . https://books.google.com/books?id=ego8AQAAIAAJ. Retrieved 2014-10-09.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Commons-logo.svg
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Christian cross.svg Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.