Eneo bunge la Nyaribari Chache

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Jamhuri ya Kenya

Makala hii imepangwa kwa mfululizo:
Siasa na serikali ya
Kenya



Nchi zingine · Atlasi


Eneo bunge la Nyaribari Chache ni jimbo la uchaguzi nchini Kenya, moja kati ya majimbo tisa ya Kaunti ya Kisii.

Historia[hariri | hariri chanzo]

Lilianzishwa wakati wa Uchaguzi wa 1988.

Wabunge[hariri | hariri chanzo]

Mwaka wa Uchaguzi Mbunge [1] Chama Vidokezo
1988 Andrew John Omanga KANU Mfumo wa Chama Kimoja
1992 Simeon Nyachae KANU
1997 Simeon Nyachae KANU
2002 Simeon Nyachae Ford-People
2007 Robert Onsare Monda NARC

Wodi[hariri | hariri chanzo]

Wodi
Wodi Wapiga Kura waliojiandikisha Utawala wa Eneo
Bobaracho 5,010 Munisipali ya Kisii
Central 7,049 Munisipali ya Kisii
Ibeno / Keumbu 19,383 Gusii county
Kanga Hill 2,862 Munisipali ya Kisii
Kegati 3,798 Gusii county
Kiogoro 6,226 Gusii county
Nyansira 1,285 Keroka (Mji)
Nyaura 5,801 Munisipali ya Kisii
Jumla 51,414
*Septemba 2005 [2].

Tazama Pia[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]