Eneo bunge la Kiharu

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Jamhuri ya Kenya

Makala hii imepangwa kwa mfululizo:
Siasa na serikali ya
Kenya



Nchi zingine · Atlasi


Eneo bunge la Kiharu (zamani liliitwa Mbiri) ni jimbo la uchaguzi nchini Kenya, moja kati ya majimbo saba ya Kaunti ya Murang'a. Mji wa Murang'a unapatikana ndani ya eneo bunge hilo.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]