Nenda kwa yaliyomo

Eneo bunge la Imenti ya Kati

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Jamhuri ya Kenya

Makala hii imepangwa kwa mfululizo:
Siasa na serikali ya
Kenya



Nchi zingine · Atlasi

Eneo bunge la Imenti ya Kati ni moja kati ya Majimbo 290 ya Uchaguzi nchini Kenya. Jimbo hili linapatikana katika Kaunti ya Meru. Lina wodi nane, zote zikiwachagua madiwani kwa baraza la utawala wa mitaa la Meru Central County.

Historia

[hariri | hariri chanzo]

Jimbo hili lilibuniwa wakati wa Uchaguzi Mkuu wa 1988.

Uchaguzi Mbunge [1] Chama Vidokezo
1988Kirugi Laiboni M’MukindiaKANUMfumo wa Chama Kimoja
1992Kirugi Laiboni M’MukindiaKANU
1997Gitobu ImanyaraFord-K
2002Kirugi Laiboni M’MukindiaNARC
2007Gitobu ImanyaraCCU
Wodi
Wodi Wapiga Kura waliojiandikisha
Gatimbi8,926
Kariene7,893
Katheri9,835
Kiagu7,164
Kibaranyaki5,338
Kibirichia12,485
Kithirune5,973
Mwangathia10,615
Jumla68,229
*Septemba 2005 [2].

Tazama Pia

[hariri | hariri chanzo]