Eneo bunge la Ijara

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Eneo bunge la Ijara ni mojawapo ya Majimbo 290 ya uchaguzi nchini Kenya. Jimbo hili linapatikana katika Kaunti ya Garissa, Kaskazini Mashariki mwa Kenya. Linashirikisha wodi saba, zote zikiwachagua madiwani kwa baraza la Ijara County.

Jamhuri ya Kenya

Makala hii imepangwa kwa mfululizo:
Siasa na serikali ya
Kenya



Nchi zingine · Atlasi


Historia[hariri | hariri chanzo]

Jimbo hili lilianzishwa wakati wa Uchaguzi Mkuu wa 1988.

Wabunge[hariri | hariri chanzo]

Uchaguzi Mbunge [1] Chama Vidokezo
1988 Wasio N. Maalim Arte KANU Mfumo wa Chama Kimoja
1992 Wasio N. Maalim Arte KANU
1997 Mohamed Dahir Werah KANU
2002 Yusuf Mohamed Haji KANU
2007 Yusuf Mohamed Haji KANU

Wodi[hariri | hariri chanzo]

Wodi
Wodi Wapiga Kura waliojisajili
Hadaro 595
Ijara 2,165
Ijara South 1,990
Korisa 1,583
Kotile 833
Masalani 2,163
Sangailu 1,044
Jumla 10,373
*Septemba 2005 [2].

Tazama Pia[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]