Nenda kwa yaliyomo

Eneo bunge la Butula

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Jamhuri ya Kenya

Makala hii imepangwa kwa mfululizo:
Siasa na serikali ya
Kenya



Nchi zingine · Atlasi

Eneo bunge la Butula ni mojawapo ya majimbo ya Uchaguzi nchini Kenya. Jimbo hili hupatikana katika kaunti ya Busia, magharibi mwa Kenya, miongoni mwa majimbo saba katika kaunti hiyo.

Lina wodi nne ambazo huwachagua madiwani kwa baraza la Busia County.

Historia

[hariri | hariri chanzo]

Jimbo hili lilianzishwa wakati wa Uchaguzi mkuu wa 1997.

Uchaguzi MP [1] Chama Vidokezo
1997Yekoyada F. O. MasakhaliaKANU
2002Christine Abungu MangoNARC
2007Alfred OdhiamboODM
Wodi
Wodi Wapiga Kura Wliojisajili
Marachi Central9,245
Marachi East8,671
Marachi North9,762
Marachi West7,951
Jumla35,629
*Septemba 2005 [2].

Tazama Pia

[hariri | hariri chanzo]