Emeriko wa Hungaria
Mandhari

Emeriko wa Hungaria (pia: Henricus, Emery, Emerick, Emmerich, Emericus, Americus; kwa Kihungaria: Szent Imre herceg; Székesfehérvár, 1007 hivi – Hegyközszentimre, 2 Septemba 1031) alikuwa mtoto pekee wa mfalme Stefano I wa Hungaria ambaye alifikia ujana[1][2].
Emeriko alilelewa kitawa na Mbenedikto Gerard wa Csanád ili amrithi baba yake kama mfalme[3]. Alioa mwaka 1022.[4] Kumbe alifariki wakati wa uwindaji.
Mwaka 1083 Papa Gregori VII alimtangaza mtakatifu.
Sikukuu yake huadhimishwa na Wakatoliki na Waorthodoksi, hasa tarehe 4 Novemba[5], lakini pia 5 Novemba na 4 Septemba.
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Mabradha wa Shule za Kikristo
- Orodha ya Watakatifu Waaugustino
- Orodha ya Watakatifu Wabazili
- Orodha ya Watakatifu Wabenedikto
- Orodha ya Watakatifu Wadominiko
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
- Orodha ya Watakatifu Wajesuiti
- Orodha ya Watakatifu Wakarmeli
- Orodha ya Watakatifu Wakolumbani
- Orodha ya Watakatifu Wamersedari
- Orodha ya Watakatifu Waoratori
- Orodha ya Watakatifu Wapasionisti
- Orodha ya Watakatifu Wapremontree
- Orodha ya Watakatifu Waredentori
- Orodha ya Watakatifu Wasalesiani
- Orodha ya Watakatifu Waskolopi
- Orodha ya Watakatifu Wateatini
- Orodha ya Watakatifu Watrinitari
- Orodha ya Watakatifu Watumishi wa Maria
- Orodha ya Watakatifu Wavinsenti
Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]- ↑ Sauser E, Biographisch-bibliograophisches Kirchenlexikon (German, title transl. "Biographic-bibliographic encyclopaedia of the Roman Catholic church") Vol XXI, pub. Bautz, 2003, ISBN 3-88309-038-7
- ↑ https://www.santiebeati.it/dettaglio/92148
- ↑ Masomo ya Breviari - Sikukuu za Bwana, za Bikira Maria na za Watakatifu - Ndanda Mission Press 1978, uk 289-291
- ↑ Charles Cawley. "HUNGARY KINGS". Medieval Lands. Foundation of Medieval Genealogy. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2012-02-23. Iliwekwa mnamo 12 Juni 2010.
{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link) - ↑ Martyrologium Romanum
Viungo vya nje
[hariri | hariri chanzo]| Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
