Nenda kwa yaliyomo

Bonfili

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Sanamu yake huko Foligno.

Bonfili, O.S.B. (Osimo[1], Marche, Italia, 1040 hivi - Cingoli, Marche, 22 Machi 1115) alikuwa abati wa monasteri[2][3] halafu askofu wa Foligno kuanzia 1070 hivi[4].

Miaka 1096-1104 aliishi katika Nchi takatifu na kuwa mkaapweke.

Aliporudi Italia aliacha moja kwa moja jimbo lake na kwenda tena monasterini, lakini huko alidhulumiwa hata akamalizia maisha yake upwekeni[5].

Habari zake ziliandikwa na Silvesta Guzzolini.

Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa Katoliki kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 27 Septemba[6][7].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. Watkins, Basil (2015). The Book of Saints: A Comprehensive Biographical Dictionary. Bloomsbury Publishing. ISBN 0567664155.
  2. Parolin, Pietro (3 Juni 2017). "ST SYLVESTER THE RELEVANCE OF A CHARISM". Symposium held at Fabriano Monastery of St Sylvester.{{cite journal}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
  3. "Saint Bonfils", Nominis
  4. Nicolini, Ugolino. "BONFIGLIO, santo". Treccani. Dizionario Biografico degli Italiani - Volume 12 (1971). Iliwekwa mnamo 1 Desemba 2022.{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
  5. https://www.santiebeati.it/dettaglio/90318
  6. Martyrologium Romanum
  7. Saints.SQPN: Bonfilius of Foligno

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Saint Bonfilius, in Enciclopedia Britannica, Encyclopædia Britannica, Inc.
  • Ugolino Nicolini, BONFIGLIO, santo, in Dizionario biografico degli italiani, vol. 12, Istituto dell'Enciclopedia Italiana, 1971.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.