Blandina wa Lyon
Jump to navigation
Jump to search

Picha takatifu ya Mt. Blandina.
Fresque de la chapelle orthodoxe de la Dormition de la Mère de Dieu (Drôme).
Fresque de la chapelle orthodoxe de la Dormition de la Mère de Dieu (Drôme).
Blandina (kwa Kifaransa: Blandine; alifariki Lyon, leo nchini Ufaransa, 177) alikuwa mwanamke aliyeuawa katika dhuluma wa kaisari Marcus Aurelius dhidi ya Ukristo[1].
Barua iliyotufikia kutoka kwa walionusurika kuuawa wakati huo inaleta ripoti kali lakini sahihi ya mauaji hayo ya wafiadini wa Lyon yaliyofanyika katika mji mkuu wa Gallia.
Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu bikira na mfiadini.
Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 2 Juni[2].
Tazama pia[hariri | hariri chanzo]
- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
Tanbihi[hariri | hariri chanzo]
![]() |
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |