Betirani

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Kaburi lake katika kanisa huko Le Mans.

Betirani (pia: Bertechramnus, Bertichramnus, Berticrannus, Bertrannus, Berthram, Bertram, Bertran, Bertrand; Autun, leo nchini Ufaransa, 540 - Le Mans, 623 hivi) alikuwa askofu wa Le Mans kuanzia mwaka 586 hadi kifo chake, isipokuwa katikati, alipofungwa gerezani na alipofukuzwa na serikali.

Anakumbukwa kama mchungaji aliyependa amani na kuwakirimu maskini na wamonaki[1]

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 30 Juni[2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.