Alberto Hurtado

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Picha yake halisi.

Alberto Hurtado Cruchaga (22 Januari 190118 Agosti 1952) alikuwa padri wa Kanisa Katoliki na mtawa wa Shirika la Wajesuiti kutoka nchi ya Chile.

Alisoma sheria na kujitahidi kwa ajili ya mafukara nchini mwake.

Sababu ya kifo chake ilikuwa kansa.

Mwaka 2005 alitangazwa na Papa Yohane Paulo II kuwa mtakatifu.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Maandishi muhimu zaidi[hariri | hariri chanzo]

  • ¿Es Chile un pais católico? (English: Is Chile a Catholic country?), Santiago (Chile), 1941.
  • Humanismo social (English: Social humanism), Santiago (Chile), 1947.
  • El orden social cristiano en los documentos de la jerarquía católica (English: Christian social order in the documents of the Catholic hierarchy), 2 vol., Santiago (Chile), 1947.
  • Sindicalismo: historia-teoría-práctica (English: Syndicalism: History-Theory-Practice), Santiago (Chile), 1950.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • CID, F.D.: El humanismo de Alberto Hurtado S.J., Santiago (Chile), 1975.
  • LAVIN, A.: El P.Hurtado, amigo y apostol de los jovanes, Santiago (Chile), 1978.
  • GILFEATHER, Katherine A.: Alberto Hurtado, a man after God's Heart, Santiago (Chile), 2004.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.