Aibati

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Aibati, O.S.B. (Espain[1], leo nchini Ubelgiji, 1060 hivi - karibu na Crespin, Hainault, leo nchini Ufaransa, 7 Aprili 1140) alikuwa mkaapweke, halafu mmonaki na padri[2] wa shirika la Mt. Benedikto[3].

Kila siku alikuwa akisali Zaburi zote akiwa amepiga magoti au kujilaza kifudifudi. Pamoja na hayo, alikuwa anawapatia huruma ya Mungu umati wa watu waliomtembelea[4].

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu[5].

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe ya kifo chake[6].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.