Kariakoo : Tofauti kati ya masahihisho
d Bot: Migrating 3 interwiki links, now provided by Wikidata on d:q1404645 (translate me) |
No edit summary |
||
Mstari 1: | Mstari 1: | ||
{{Infobox Settlement |
{{Infobox Settlement |
||
|jina_rasmi = Kata ya Kariakoo |
|jina_rasmi = Kata ya Kariakoo |
||
| |
|picha_ya_satellite = |
||
|maelezo_ya_picha = |
|maelezo_ya_picha = |
||
|pushpin_map = Tanzania |
|pushpin_map = Tanzania |
||
Mstari 12: | Mstari 12: | ||
|subdivision_type2 = [[Wilaya za Tanzania|Wilaya]] |
|subdivision_type2 = [[Wilaya za Tanzania|Wilaya]] |
||
|subdivision_name2 = [[Wilaya ya Ilala|Ilala]] |
|subdivision_name2 = [[Wilaya ya Ilala|Ilala]] |
||
|wakazi_kwa_ujumla = |
|wakazi_kwa_ujumla =13,780 |
||
|latd=6 |latm=49 |lats=26 |latNS=S |
|latd=6 |latm=49 |lats=26 |latNS=S |
||
|longd=39 |longm=14 |longs=56 |longEW=E |
|longd=39 |longm=14 |longs=56 |longEW=E |
||
Mstari 18: | Mstari 18: | ||
}} |
}} |
||
'''{{BASEPAGENAME}}''' ni jina la |
'''{{BASEPAGENAME}}''' ni jina la Kata ya Wilaya ya [[Ilala]] katika [[Mkoa wa Dar es Salaam]], [[Tanzania]]. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mwaka wa [[2012]], Kata ina wakazi wapatao 13,780 waishio humo.<ref>http://www.meac.go.tz/sites/default/files/Statistics/Tanzania%20Population%20Census%202012.pdf Wilaya ya Ilala - Dar es salaam</ref> |
||
Kariakoo inajulikana kutokana na soko kubwa. |
Kariakoo inajulikana kutokana na soko kubwa. |
Pitio la 08:31, 22 Machi 2015
Kata ya Kariakoo | |
Mahali pa Kariakoo katika Tanzania |
|
Majiranukta: 6°49′26″S 39°14′56″E / 6.82389°S 39.24889°E | |
Nchi | Tanzania |
---|---|
Mkoa | Dar es Salaam |
Wilaya | Ilala |
Idadi ya wakazi | |
- Wakazi kwa ujumla | 13,780 |
Kariakoo ni jina la Kata ya Wilaya ya Ilala katika Mkoa wa Dar es Salaam, Tanzania. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2012, Kata ina wakazi wapatao 13,780 waishio humo.[1]
Kariakoo inajulikana kutokana na soko kubwa.
Asili ya jina
Jina la eneo hili ni la kihistoria linatokana na neno la Kiingereza "carrier corps" yaani kikosi cha wapangaji waliobeba mizigo ya jeshi wakati wa Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia. Pande zote vitani walitumia malakhi ya wapangaji waliokodishwa au kulazimishwa kufanya huduma hii. Baada ya vita wapangaji kadhaa walipewa maeneo ya kujenga nyumba kwenye miji mbalimbali na hivyo majina kama "Kariakoo" au "Kariokor" (Nairobi) yanapatikana katika miji mbalimbali ya Afrika ya Mashariki.
Marejeo
- ↑ http://www.meac.go.tz/sites/default/files/Statistics/Tanzania%20Population%20Census%202012.pdf Wilaya ya Ilala - Dar es salaam
Kata za Wilaya ya Ilala - Tanzania | ||
---|---|---|
Bonyokwa | Buguruni | Buyuni | Chanika | Gerezani | Gongolamboto | Ilala | Jangwani | Kariakoo | Kimanga | Kinyerezi | Kipawa | Kipunguni | Kisukuru | Kisutu | Kitunda | Kivukoni | Kivule | Kiwalani | Liwiti | Majohe | Mchafukoge | Mchikichini | Minazi Mirefu | Mnyamani | Msongola | Mzinga | Pugu | Pugu Station | Segerea | Tabata | Ukonga | Upanga Magharibi | Upanga Mashariki | Vingunguti | Zingiziwa |
Makala hii kuhusu maeneo ya Tanzania bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Kariakoo kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. Usitaje majina ya madiwani na viongozi au maafisa wengine wa sasa maana wanabadilika haraka mno. |