Zeno wa Verona
Mandhari


Zeno wa Verona (300 - 371) alikuwa askofu wa nane wa Verona (Italia) kuanzia mwaka 362.
Anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.
Maisha
[hariri | hariri chanzo]Hakuna habari nyingi za hakika kuhusu maisha yake, lakini inaonekana alitokea Mauretania (Afrika kaskazini) akiwa msomi. Kwa juhudi na mahubiri yake alileta mji mzima kwenye imani na ubatizo.
Maandishi
[hariri | hariri chanzo]Zimetufikia hotuba zake 16 ndefu na 77 fupi, zinazoonyesha alivyopambana na Upagani na uzushi wa Ario.
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]Marejeo ya Kiswahili
[hariri | hariri chanzo]- John Kabeya na wengine - Maisha ya Watakatifu – ed. T.M.P. Book Department – Tabora 1965, 1989, uk. 128
- Pd. Leandry Kimario, O.F.M.Cap. - Mfahamu Mtakatifu Somo Wako - Maisha ya Watakatifu wa Kila Siku pamoja na Watakatifu Wafransisko - Toleo la pili - Dar es Salaam 2021, uk. 109-110
Viungo vya nje
[hariri | hariri chanzo]- Patron Saint index
- The Lives or the Fathers, Martyrs and Other Principal Saints Ilihifadhiwa 8 Aprili 2016 kwenye Wayback Machine. as reprinted by Eternal Word Television Network
- Documenta Catholica Omnia Kigezo:La icon
- San Zeno (Zenone) di Verona (Kiitalia)
- Zeno of Verona – Following the footsteps of a saint in Europe: article series with photographic documentation and maps (Kijerumani)
| Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
