Yohane Grande
Sanamu yake.
Yohane Grande Román, O.H. (aliyependa kuitwa Yohane Mkosefu; Carmona, 6 Machi 1546 - Jerez de la Frontera, 3 Juni 1600) alikuwa bradha wa shirika la kihospitali la Mt. Yohane wa Mungu nchini Hispania.
Kabla ya hapo alikuwa ameanzisha hospitali mwenyewe, ila aliamua kuiunga na shirika hilo mwaka 1574.
Alipohudumia wagonjwa wa tauni aliambukizwa akafa[1][2].
Papa Pius IX alimtangaza kwanza mwenye heri tarehe 13 Novemba 1858, halafu Yohane Paulo II akamtangaza mtakatifu tarehe 2 Juni 1992[3] [4].
Sikukuu yake huadhimishwa tarehe ya kifo chake[5].
Tazama pia[hariri | hariri chanzo]
- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
Tanbihi[hariri | hariri chanzo]
- ↑ Juan Grande Román (1546-1600). The Holy See. Iliwekwa mnamo 22 May 2015.
- ↑ Saint John Grande. Saints SQPN (22 May 2009). Iliwekwa mnamo 22 May 2015.
- ↑ Saint John Grande. Saints SQPN (22 May 2009). Iliwekwa mnamo 22 May 2015.
- ↑ Juan Grande Román (1546-1600). The Holy See. Iliwekwa mnamo 22 May 2015.
- ↑ Martyrologium Romanum: ex Decreto Sacrosancti oecumenici Concilii Vaticani II instauratum auctoritate Ioannis Pauli P.P. II promulgatum, Romae 2001, ISBN 8820972107
Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]
![]() |
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |