Yoana Beretta Molla
Jump to navigation
Jump to search

Picha yake halisi.
Gianna Beretta Molla (Magenta, Lombardia, Italia, 4 Oktoba 1922 – Monza, 28 Aprili 1962) alikuwa daktari bingwa wa maradhi ya watoto.
Mke wa Pietro Molla, alipokuwa mjamzito kwa mara ya nne, alipatikana na ugonjwa ambao tiba yake ilitaka mimba yake ife asije akafa mwenyewe. Ingawa alijua vizuri hilo, alikataa tiba kamili ili mtoto aweze kuzaliwa.
Papa Yohane Paulo II alimtangaza mwenye heri tarehe 24 Aprili 1994 na mtakatifu tarehe 16 Mei 2004 mbele ya mume na watoto wake wote.
Tazama pia[hariri | hariri chanzo]
- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
Maandishi yake[hariri | hariri chanzo]
- Molla, Gianna Beretta, Love Letters to My Husband, Guerriero, Elio, ed., Pauline Books, 2002.
Tanbihi[hariri | hariri chanzo]
Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]
- The National Gianna Center for Women's Health and Fertility
- St Gianna Physician's Guild
- Saint Gianna website
- Saint Gianna Shrine website
- St. Gianna Beretta Molla
- Life of St Gianna
![]() |
Makala hii kuhusu Mkristo huyu bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Yoana Beretta Molla kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |