Wiliamu wa Vercelli
Wiliamu wa Vercelli, O.S.B. (Vercelli, Piemonte, 1085 - Sant'Angelo dei Lombardi, Campania, 25 Juni 1142) alikuwa abati nchini Italia na mwanzilishi wa urekebisho wa Wabenedikto wa Monte Vergine ambao aliueneza sehemu mbalimbali[1][2][3] .
Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa Katoliki kama mtakatifu.
Sikukuu yake inaadhimishwa kila tarehe 25 Juni[4].
Tazama pia[hariri | hariri chanzo]
- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
Tanbihi[hariri | hariri chanzo]
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
- Costo, Tommaso (1591). Istoria dell'origine del sagratissimo luogo di Montevergine (in Italian).
- Berloco, Tommaso (1985). Storie inedite della città di Altamura (in Italian). ATA - Associazione Turistica Altamurana Pro Loco.[dead link]
- The Book of Saints, compiled by the Benedictine monks of St Augustine's Abbey, Ramsgate. London: Cassell, 1994. ISBN 0-304-34357-9.
Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]
![]() |
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |