Walter wa Esterp

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Walter wa Esterp (pia: Gautier, Gaultier, Gaucher, Gualtierus; Confolens, Aquitaine, 990 hivi - Esterp, Limousin, 11 Mei 1070) alikuwa padri wa jumuia nchini Ufaransa.

Kisha kulelewa vizuri kwa utumishi wa Mungu tangu utotoni, aliongoza kama abati hadi kifo chake monasteri akitoa mfano wa upole kwa wakanoni wenzake na upendo kwa maskini [1].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa kila mwaka tarehe 11 Mei[2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.