Vijili wa Trento

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mt. Vijili na wafiadini Sisini, Martiri na Aleksanda. Paolo Naurizio, 1583.

Vijili wa Trento (353 hivi - ziwa la Garda, Italia, 26 Juni 405) alikuwa askofu wa kwanza wa mji huo kwa miaka mingi akaanzisha parokia 30.

Kama alivyoagizwa na kuelekezwa na Ambrosi, alijitahidi kuwaleta Wapagani na Waario katika Kanisa Katoliki.

Aliuawa kwa ajili ya imani yake kwa kupigwa mawe[1].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 26 Juni[2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Nicholas Everett, Patron Saints of Early Medieval Italy AD c.350-800 (PIMS/Durham University Press, 2016), pp.124-138.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.