Ziwa la Garda

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
ramani ya ziwa garda
Ziwa la Garda

Ziwa la Garda (kwa Kiitalia: Lago di Garda) ndilo ziwa kubwa zaidi la Italia. Liko kati ya mikoa ya Lombardia, Veneto na Trentino-Alto Adige(Italia Kaskazini).

Makala hii kuhusu eneo fulani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu eneo hilo kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Je, unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.


Usitaje majina ya madiwani na viongozi au maafisa wengine wa sasa maana wanabadilika haraka mno.