Uwemba

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru


Kata ya Uwemba
Nchi Tanzania
Mkoa Iringa
Wilaya Njombe
Idadi ya wakazi
 - Wakazi kwa ujumla 10,359

Uwemba ni kata ya Mji wa Njombe katika Mkoa wa Njombe, nchini Tanzania, yenye postikodi namba 59103.

Katika sensa ya mwaka 2022 wakazi wa kata walihesabiwa kuwa 10,359 [1]. Wakati wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2012, kata ilikuwa na wakazi wapatao 8,900 [2] walioishi humo.

Uwemba iko monasteri ya shirika la wamonaki Wakatoliki Wabenedikto ambayo ni upriori mdogo chini ya abasia ya Peramiho.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. https://www.nbs.go.tz, uk 209
  2. "Sensa ya 2012, Njombe - Njombe TC". Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2016-03-03. Iliwekwa mnamo 2017-03-29. 

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Kata za Wilaya ya Njombe Mjini - Tanzania

Ihanga | Iwungilo | Kifanya | Lugenge | Luponde | Makowo | Matola | Mjimwema | Njombe Mjini | Ramadhani | Utalingoro | Uwemba | Yakobi


Makala hii kuhusu maeneo ya Mkoa wa Njombe bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Uwemba kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Tafadhali usiingize majina ya maafisa au viongozi wa sasa maana wanabadilika mno.