Toskana

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Kwa mkoa wa Italia ya Kati, tazama Toscana.

Mt. Toskana alivyochorwa pamoja na Mt. Magdalena na Mt. Katerina.

Toskana (jina kamili la Kiitalia: Toscana de' Crescenti; Zevio, Italia, 1280 hivi - Verona, Italia, 14 Julai 1343/1344) alikuwa mwanamke Mkristo wa ukoo maarufu ambaye, kisha kufiwa mumewe (1318), aliwagawia fukara mali yake yote akajitosa kuhudumia wagonjwa katika familia ya kiroho ya Utawa wa Mt. Yohane[1].

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu.

Sikukuu yake inaadhimishwa kila mwaka tarehe ya kifo chake [2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. https://www.santiebeati.it/dettaglio/90295
  2. Martyrologium Romanum: ex Decreto Sacrosancti oecumenici Concilii Vaticani II instauratum auctoritate Ioannis Pauli P.P. II promulgatum, Romae 2001, ISBN 8820972107

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Dario Cervato, Santa Toscana. Storiografia, Vita, Culto, Verona, Biblioteca Capitolare di Verona, 2006.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.