Torpesi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Ngao ya Saint-Tropez, mji wa Ufaransa wenye jina la Mt. Torpesi.

Torpesi (pia: Torpetius, Tropesius, Torpès, Tropez, Torpete, Torpes, Torpè; labda alifia imani Pisa, Italia, mwaka 65 hivi[1][1] ) alikuwa kati ya Wakristo wa kwanza huko Toscana[2][3].

Anaheshimiwa na madhehebu mbalimbali ya Ukristo kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 29 Aprili[4].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.