Theodora Guerin

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Theodora Guerin (Étables-sur-Mer, Ufaransa, 2 Oktoba 1798 - Saint Mary-of-the-Woods, Indiana, Marekani, 14 Mei 1856) alikuwa sista wa Ufaransa ambaye alitumwa na wenzake watano kuanzisha jumuia ya shirika lao huko Marekani[1][2] aliposhughulikia kwa huruma hasa malezi ya wasichana akitegemea daima Maongozi ya Mungu [3][4].

Baadaye tawi hilo lilitengwa na shirika mama, hivyo Theodora akahesabiwa kama mwanzilishi[5][6].

Alitangazwa rasmi mwenyeheri na Papa Yohane Paulo II tarehe 25 Oktoba 1998, halafu mtakatifu na Papa Benedikto XVI 15 Oktoba 2006.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe aliyofariki dunia[7].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. Young, p. 27.
  2. Mitchell, Penny Blaker (1998). Mother Théodore Guérin: A Woman for Our Time. Saint Mary-of-the-Woods, Indiana: Sisters of Providence.  Unknown parameter |url-access= ignored (help)
  3. About Saint Mother Theodore Guerin. Sisters of Providence of Saint Mary-of-the-Woods.
  4. http://www.santiebeati.it/dettaglio/72725
  5. Young, p. 3.
  6. Burton, Catherine; Doyle, Mary K. (2006). The Eighth American Saint: The Life of Saint Mother Théodore Guérin, Foundress of the Sisters of Providence of Saint Mary-of-the-Woods, Indiana. Skokie, Illinois: ACTA Publications. 
  7. Martyrologium Romanum

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Wikiquote ina mkusanyiko wa dondoo kuhusu:
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.