Teodosi abati

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Picha takatifu ya Mt. Teodosi.
Picha mbalimbali kuhusu maisha yake.

Teodosi abati (Mogarissos, Kapadokia, leo nchini Uturuki, 423 hivi – Yerusalemu, Israeli, 529), rafiki wa abati Saba, alikuwa mmonaki aliyeanzisha na kuratibu maisha ya kijumuia katika monasteri kadhaa huko Palestina. Kabla ya hapo aliiishi muda mrefu kama mkaapweke[1].

Pia alishika sana imani sahihi ilivyofundishwa na Mtaguso wa Kalsedonia na kwa ajili hiyo aliwahi kudhulumiwa sana na serikali ya Dola la Roma Mashariki.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 11 Januari.[2][3]

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. Martyrologium Romanum
  2. Martyrologium Romanum
  3. Ὁ Ὅσιος Θεοδόσιος ὁ Κοινοβιάρχης καὶ Καθηγητὴς τῆς Ἐρήμου

Vyanzo[hariri | hariri chanzo]

  • Attwater, Donald and Catherine Rachel John. The Penguin Dictionary of Saints. 3rd edition. New York: Penguin Books, 1993. ISBN|0-14-051312-4.
  • St. Demetrius of Rostov, Marretta, Fr. Thomas (Translator). The Great Collection of The Lives of the Saints, Vol V: January. Chrysostom Press, 2002. ISBN|1-889814-04-0
  • Papadopulos, Leo (Translator). Four Great Fathers: Saint Paisius the Great, Saint Pachomius the Great, Saint Euthymius the Great, and Saint Theodosius. Holy Trinity Monastery, 2007. ISBN|0-88465-139-8
  • St. Nikolai Velimirović, Tepsić, Fr. T. Timothy (Translator). The Prologue of Ohrid: Lives of Saints, Hymns, Reflections and Homilies for Every Day of the Year, Vol. 1. Serbian Orthodox Diocese of Western America, 2002. ISBN|0-9719505-0-4
  • Great Synaxaristes: Ὁ Ὅσιος Θεοδόσιος ὁ Κοινοβιάρχης καὶ Καθηγητὴς τῆς Ἐρήμου. 11 Ιανουαρίου. ΜΕΓΑΣ ΣΥΝΑΞΑΡΙΣΤΗΣ.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.