Sirili V wa Aleksandria

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Sirili V wa Aleksandria (1831 hivi - 7 Agosti 1927) kuanzia mwaka 1874 hadi kifo chake alikuwa Patriarki wa 112 wa Aleksandria (Misri). Ndiye aliyeongoza kirefu zaidi Kanisa la Wakopti.

Tangu kale anaheshimiwa na Waorthodoksi wa Mashariki kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe ya kifo chake.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.