Nenda kwa yaliyomo

Sigolena

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Sanamu yake katika kanisa kuu la Albi.

Sigolena (kwa Kifaransa: Sigolène, Ségolène, Sigouleine, Segouleine; alifariki 769) alikuwa mwanamke wa Ufaransa ambaye, baada ya kuolewa na kubaki mjane akiwa na umri wa miaka 22, alijitoa kuhudumia maskini na kusali.

Hatimaye alianzisha monasteri huko Troclar ambayo akawa abesi wake wa kwanza[1].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa katika tarehe 24 Julai[2].

Tazama pia

[hariri | hariri chanzo]
  • « Vie et Vita de sainte Ségolène, abbesse du Troclar au s VII », Le Moyen Âge, vol.101, n°3-4, 1995, p.385-406 ISSN 0027-2841.
  • Klapisch-Zuber, Christiane, ed. A History of Women in the West, vol. II: Silences of the Middle Ages. Cambridge: Belknap-Harvard, 1992.

Viungo vya nje

[hariri | hariri chanzo]
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.