Shebeen

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Shebeen katika Joe Slovo Park, Cape Town

Shebeen, hapo awali ilikuwa baa au kilabu ambapo pombe ziliuzwa bila leseni. Neno hili limeenea maeneo mbalimbali na asili yake ni Ireland, lakini limeenea maeneo mbalimbali kama Kanada, Marekani, Uingereza, Zimbabwe, Namibia, Malawi, [1] na Afrika Kusini . Kwa sasa Afrika Kusini Shebeen nyingi hutumika kwa uhalali kabisa. [2] [3]

Africa Kusini[hariri | hariri chanzo]

Afrika Kusini na Zimbabwe , shebeen mara nyingi hupatikana katika vitongoji kama njia mbadala ya baa, ambapo Afrika Kusini kulikuwa na ubaguzi wa rangi enzi ya Rhodesia . , Waafrika wengi walizuiwa kuingia kwenye baa, baa zilitengwa kwa ajili ya wale wenye asili ya Kizungu.  .

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Mzungu, Watiposo. "Can Malawi succeed in regulating sanitation in shebeens?". The Nation. Nation Publications Limited. Iliwekwa mnamo 27 January 2019.  Check date values in: |accessdate= (help)
  2. "Archived copy". Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2009-04-09. Iliwekwa mnamo 2009-04-08. 
  3. "News - Finance/ Labour: Zoning could legalise Western Cape shebeens". www.iol.co.za. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2009-06-19. 
Makala hii kuhusu mambo ya utamaduni bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Shebeen kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.