Severo wa Barcelona

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Sanamu yake katika kanisa kuu la Barcelona, kazi ya Bartolomé Ordóñez, mwaka 1519.

Severo wa Barcelona (alifariki Barcelona, Hispania, 304 hivi) alikuwa askofu ambaye inasemekana aliuawa kwa ajili ya imani ya Kikristo[1].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 6 Novemba[2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.