1519
Jump to navigation
Jump to search
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ |
Karne ya 15 |
Karne ya 16
| Karne ya 17
| ►
◄ |
Miaka ya 1480 |
Miaka ya 1490 |
Miaka ya 1500 |
Miaka ya 1510
| Miaka ya 1520
| Miaka ya 1530
| Miaka ya 1540
| ►
◄◄ |
◄ |
1515 |
1516 |
1517 |
1518 |
1519
| 1520
| 1521
| 1522
| 1523
| ►
| ►►
Makala hii inahusu mwaka 1519 BK (Baada ya Kristo).
Matukio[hariri | hariri chanzo]
- 4 Machi - Hernan Cortes anafika Mexiko.
- 28 Juni - Mfalme Carlos I wa Hispania amekuwa Kaisari wa Dola Takatifu la Roma akitawala kama Karolo V hadi 1556.
- 4 Julai - Martin Luther anapinga mamlaka ya Papa katika majadiliano yake na Yohane Eck mjini Leipzig (Ujerumani)
- 8 Novemba - Hernan Cortez anafika Tenochtitlan (Mexiko) akipokelewa kama mungu. Atachoma mji na kuijenga upya kama Mji wa Mexiko.
Waliozaliwa[hariri | hariri chanzo]
Kalenda ya Gregori | 2022 MMXXII |
Kalenda ya Kiyahudi | 5782 – 5783 |
Ab urbe condita (Roma ya Kale) | 2775 |
Kalenda ya Ethiopia | 2014 – 2015 |
Kalenda ya Kiarmenia | 1471 ԹՎ ՌՆՀԱ |
Kalenda ya Kiislamu | 1444 – 1445 |
Kalenda ya Kiajemi | 1400 – 1401 |
Kalenda za Kihindu | |
- Vikram Samvat | 2077 – 2078 |
- Shaka Samvat | 1944 – 1945 |
- Kali Yuga | 5123 – 5124 |
Kalenda ya Kichina | 4718 – 4719 辛丑 – 壬寅 |
Waliofariki[hariri | hariri chanzo]
- 12 Januari - Kaisari Maximilian I wa Ujerumani
- 2 Mei - Leonardo da Vinci, mchoraji na mwanasayansi kutoka Italia
Wikimedia Commons ina media kuhusu: