1509
Mandhari
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ |
Karne ya 15 |
Karne ya 16
| Karne ya 17
| ►
◄ |
Miaka ya 1470 |
Miaka ya 1480 |
Miaka ya 1490 |
Miaka ya 1500
| Miaka ya 1510
| Miaka ya 1520
| Miaka ya 1530
| ►
◄◄ |
◄ |
1505 |
1506 |
1507 |
1508 |
1509
| 1510
| 1511
| 1512
| 1513
| ►
| ►►
Makala hii inahusu mwaka 1509 BK (Baada ya Kristo).
Matukio
[hariri | hariri chanzo]Januari–Juni
[hariri | hariri chanzo]- 2 Februari – Mapigano ya Diu: Wareno wanaushinda muungano wa Wahindi, Waislamu na Waitalia.
- 21 Aprili – Henry VIII anakuwa Mfalme wa Uingereza (kwa miaka 38) kwa kutokana na kifo cha baba yake, Henry VII.
- 27 Aprili – Papa Julius II anaiwekea Venice vikwazo vya kidini, yaani, isifuate chochote kuhusu Ukatoliki kwa kukataa kutoa sehemu ya Romagna iwe chini ya utawala wa kipapa.
- 14 Mei – Mapigano ya Agnadello: Kiko cha Ufaransa kinawashinda Wavenice.
- 11 Juni
- Henry VIII wa Uingereza anamwoa Bi. Catherine wa Aragon.
- 19 Juni – Chuo cha Brasenose, Chuo Kikuu cha Oxford, kinaanzishwa na mwanasheria, Sir Richard Sutton, wa Prestbury, Cheshire, na Askofu wa Lincoln, William Smyth.
Waliozaliwa
[hariri | hariri chanzo]Kalenda ya Gregori | 2025 MMXXV |
Kalenda ya Kiyahudi | 5785 – 5786 |
Ab urbe condita (Roma ya Kale) | 2778 |
Kalenda ya Ethiopia | 2017 – 2018 |
Kalenda ya Kiarmenia | 1474 ԹՎ ՌՆՀԴ |
Kalenda ya Kiislamu | 1447 – 1448 |
Kalenda ya Kiajemi | 1403 – 1404 |
Kalenda za Kihindu | |
- Vikram Samvat | 2080 – 2081 |
- Shaka Samvat | 1947 – 1948 |
- Kali Yuga | 5126 – 5127 |
Kalenda ya Kichina | 4721 – 4722 甲辰 – 乙巳 |
Waliofariki
[hariri | hariri chanzo]Wikimedia Commons ina media kuhusu: