1509
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ |
Karne ya 15 |
Karne ya 16
| Karne ya 17
| ►
◄ |
Miaka ya 1470 |
Miaka ya 1480 |
Miaka ya 1490 |
Miaka ya 1500
| Miaka ya 1510
| Miaka ya 1520
| Miaka ya 1530
| ►
◄◄ |
◄ |
1505 |
1506 |
1507 |
1508 |
1509
| 1510
| 1511
| 1512
| 1513
| ►
| ►►
Makala hii inahusu mwaka 1509 BK (Baada ya Kristo).
Matukio[hariri | hariri chanzo]
Januari–Juni[hariri | hariri chanzo]
- 2 Februari – Mapigano ya Diu: Wareno wanaushinda muungano wa Wahindi, Waislamu na Waitalia.
- 21 Aprili – Henry VIII anakuwa Mfalme wa Uingereza (kwa miaka 38) kwa kutokana na kifo cha baba yake, Henry VII.
- 27 Aprili – Papa Julius II anaiwekea Venice vikwazo vya kidini, yaani, isifuate chochote kuhusu Ukatoliki kwa kukataa kutoa sehemu ya Romagna iwe chini ya utawala wa kipapa.
- 14 Mei – Mapigano ya Agnadello: Kiko cha Ufaransa kinawashinda Wavenice.
- 11 Juni
- Henry VIII wa Uingereza anamwoa Bi. Catherine wa Aragon.
- 19 Juni – Chuo cha Brasenose, Chuo Kikuu cha Oxford, kinaanzishwa na mwanasheria, Sir Richard Sutton, wa Prestbury, Cheshire, na Askofu wa Lincoln, William Smyth.
Waliozaliwa[hariri | hariri chanzo]
Kalenda ya Gregori | 2023 MMXXIII |
Kalenda ya Kiyahudi | 5783 – 5784 |
Ab urbe condita (Roma ya Kale) | 2776 |
Kalenda ya Ethiopia | 2015 – 2016 |
Kalenda ya Kiarmenia | 1472 ԹՎ ՌՆՀԲ |
Kalenda ya Kiislamu | 1445 – 1446 |
Kalenda ya Kiajemi | 1401 – 1402 |
Kalenda za Kihindu | |
- Vikram Samvat | 2078 – 2079 |
- Shaka Samvat | 1945 – 1946 |
- Kali Yuga | 5124 – 5125 |
Kalenda ya Kichina | 4719 – 4720 壬寅 – 癸卯 |