Sesili wa Karthago
Mandhari
Sesili wa Karthago (jina lake kamili kwa Kilatini lilikuwa Caecilianus[1]) alikuwa padri wa mji huo (katika eneo la Tunisia ya leo) katika karne ya 3.
Mtu mwadilifu, ni maarufu hasa kwa kumsaidia Sipriani kuongokea Ukristo (245) [2].
Kabla hajafa, Sesili alimkabidhi Sipriani kazi ya kutunza mke na watoto wake.
Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa Katoliki kama mtakatifu.
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Mabradha wa Shule za Kikristo
- Orodha ya Watakatifu Waaugustino
- Orodha ya Watakatifu Wabazili
- Orodha ya Watakatifu Wabenedikto
- Orodha ya Watakatifu Wadominiko
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
- Orodha ya Watakatifu Wajesuiti
- Orodha ya Watakatifu Wakarmeli
- Orodha ya Watakatifu Wakolumbani
- Orodha ya Watakatifu Wamersedari
- Orodha ya Watakatifu Waoratori
- Orodha ya Watakatifu Wapasionisti
- Orodha ya Watakatifu Wapremontree
- Orodha ya Watakatifu Waredentori
- Orodha ya Watakatifu Wasalesiani
- Orodha ya Watakatifu Waskolopi
- Orodha ya Watakatifu Wateatini
- Orodha ya Watakatifu Watrinitari
- Orodha ya Watakatifu Watumishi wa Maria
- Orodha ya Watakatifu Wavinsenti
Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]- ↑ Taz. "Vita Sancti Cypriani" kilichoandikwa na shemasi Ponsyo; Jeromu kimakosa alimuita Caecilius tu (De viris illustribus, 67, PL, XXIII, 714), na jina hilo fupi limezoeleka
- ↑ https://www.santiebeati.it/dettaglio/55610
- ↑ Martyrologium Romanum
- ↑ https://catholicsaints.info/saint-caecilius-of-carthage/
| Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |