Nenda kwa yaliyomo

Santa Fe, New Mexico

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Jiji la Santa Fe
Santa Fe
Nchi Marekani
Jimbo New Mexico
Wilaya Santa Fe
Idadi ya wakazi
 - Wakazi kwa ujumla 72,056

Santa Fe (kwa Kihispania "Imani takatifu") ndiyo mji mkuu katika jimbo la New Mexico.

Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mwaka 2006, mji una wakazi wapatao 180,000 wanaoishi katika mji huu.

Mji upo m 2134 kutoka juu ya usawa wa bahari.


Miji mikuu ya majimbo ya Marekani

Alabama Alaska Arizona Arkansas California Colorado Connecticut Delaware Florida Georgia Hawaii Idaho Illinois Indiana Iowa Kansas Kentucky Louisiana Maine Maryland Massachusetts Michigan Minnesota Mississippi Missouri Montana Nebraska Nevada New Hampshire New Jersey New Mexico New York North Carolina North Dakota Ohio Oklahoma Oregon Pennsylvania Rhode Island South Carolina South Dakota Tennessee Texas Utah Vermont Virginia Washington West Virginia Wisconsin Wyoming

Makala hii kuhusu maeneo ya Marekani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Santa Fe, New Mexico kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.