Nenda kwa yaliyomo

Oklahoma City, Oklahoma

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mji wa oklahoma
Jiji la Oklahoma City
Nchi Marekani
Jimbo Oklahoma
Wilaya Canadian
Cleveland
Oklahoma
Pottawatomie
Idadi ya wakazi
 - Wakazi kwa ujumla 547,274

Oklahoma City ndiyo mji mkuu katika jimbo la Oklahoma. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mnamo mwaka wa 2006, mji una wakazi wapatao milioni 1.3 wanaoishi katika mji huu. Mji upo m 396 kutoka juu ya usawa wa bahari.

Makala hii kuhusu maeneo ya Marekani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Oklahoma City, Oklahoma kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.


Miji mikuu ya majimbo ya Marekani

Alabama Alaska Arizona Arkansas California Colorado Connecticut Delaware Florida Georgia Hawaii Idaho Illinois Indiana Iowa Kansas Kentucky Louisiana Maine Maryland Massachusetts Michigan Minnesota Mississippi Missouri Montana Nebraska Nevada New Hampshire New Jersey New Mexico New York North Carolina North Dakota Ohio Oklahoma Oregon Pennsylvania Rhode Island South Carolina South Dakota Tennessee Texas Utah Vermont Virginia Washington West Virginia Wisconsin Wyoming