Nenda kwa yaliyomo

Jefferson City, Missouri

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mji wa Jefferson City, Missouri
Jefferson City

Bendera
Majiranukta: 38°34′36″N 92°10′25″W / 38.57667°N 92.17361°W / 38.57667; -92.17361
Nchi Marekani
Jimbo Missouri
Wilaya Callloway
Cole
Idadi ya wakazi
 - Wakazi kwa ujumla 40,771
Tovuti:  http://www.jeffcitymo.org/

Jefferson City ni jina la mji mkuu wa jimbo la Missouri huko nchini Marekani. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mnamo mwaka wa 2008, mji una wakazi wapatao 41,000 wanaoishi katika mji huu. Mji upo m 192 kutoka juu ya usawa wa bahari. Eneo lake ni 73.2 km².

Viungo vya Nje

[hariri | hariri chanzo]


Wikimedia Commons ina media kuhusu:


Miji mikuu ya majimbo ya Marekani

Alabama Alaska Arizona Arkansas California Colorado Connecticut Delaware Florida Georgia Hawaii Idaho Illinois Indiana Iowa Kansas Kentucky Louisiana Maine Maryland Massachusetts Michigan Minnesota Mississippi Missouri Montana Nebraska Nevada New Hampshire New Jersey New Mexico New York North Carolina North Dakota Ohio Oklahoma Oregon Pennsylvania Rhode Island South Carolina South Dakota Tennessee Texas Utah Vermont Virginia Washington West Virginia Wisconsin Wyoming

Makala hii kuhusu maeneo ya Marekani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Jefferson City, Missouri kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.