Ritta Enespher Kabati
Mandhari
Makala hii inahitaji vyanzo zaidi ili kuwezesha kuonyesha uthibitisho. |
Dkt. Ritta Enespher Kabati (amezaliwa 25 Desemba 1969) ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa Chama cha kisiasa cha Chama cha Mapinduzi (CCM).
Alishika nafasi mbalimbali za uongozi katika Chama Cha Mapinduzi katika mkoa wa Dar es Salaam. Aliwahi kuwa diwani wa viti maalum kata ya Ukonga kabla ya kugombea Ubunge viti maalum vya wanawake mkoa wa Iringa.
Amechaguliwa kuwa mbunge wa Viti Maalumu kwa miaka 2015 – 2020.
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]| Makala hii kuhusu kuhusu mwanasiasa wa Tanzania bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Ritta Enespher Kabati kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |