Provino

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Provino (pia: Probino; Provins, Ufaransa, karne ya 4 - Como, Italia Kaskazini, 420 BK) anakumbukwa kama askofu wa pili wa Como.

Rafiki wa Ambrosi wa Milano, alitumwa naye huko Como kumsaidia askofu Felisi katika juhudi za kukamilisha uenezi wa Ukristo kote Italia baada ya Kaisari Theodosi I kuufanya dini rasmi ya Dola la Roma[1].

Baada ya kifo cha Felisi akawa mwandamizi wake akapambana na Uario.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 8 Machi[2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. http://www.santiebeati.it/dettaglio/91194
  2. Martyrologium Romanum

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Siro Borrani, Il Ticino Sacro. Memorie religiose della Svizzera Italiana raccolte dal sacerdote Siro Borrani prevosto di Losone, Lugani, Tip. e Libreria Cattolica di Giovanni Grassi, 1896.
  • Adriano Caprioli, Antonio Rimoldi, Luciano Vaccaro, Diocesi di Como, Brescia, Editrice La Scuola, 1986, ISBN 88-350-7761-3.

Luigi Mario Belloni, Renato Besana e Oleg Zastrow, Castelli basiliche e ville - Tesori architettonici lariani nel tempo, a cura di Alberto Longatti, Como - Lecco, La Provincia S.p.A. Editoriale, 1991.

  • Luciano Vaccaro, Giuseppe Chiesi, Fabrizio Panzera, Terre del Ticino. Diocesi di Lugano, Brescia, Editrice La Scuola, 2003.
  • Grazia Facchinetti, IL TESORO DI COMO NEL SUO TEMPO: INQUADRAMENTO STORICO, in NOTIZIARIO del Portale Numismatico dello Stato, n. 16, Roma, Istituto Poligrafico e Zecca dello Stato S.p.A., 2022, pp. 87-105.
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.